WIZARA HII NI YA JAMII LAZIMA KWENDA ‘SITE’- WAZIRI GWAJIMA

Na WMJJWM, Dar es Salaam Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi, Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema Wizara hiyo itaendelea kufuatilia utekelezaji wa Sera na Sheria inazozisimamia huku yeye mwenyewe akiwa mstari wa mbele kwenda saiti za jamii kusikiliza na kutatua changamoto za jamii. Mhe. Dkt. Gwajima ameyasema hayo akifungua jengo la